Malaika chords by Miriam Makeba
Guitar chords with lyrics
Tuning: Standard (E A D G B E)
Intro:
G D G D
Malaika, nakupenda malaika,
G D G G7
malaika, nakupenda Malaika.
C Am D
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
D G D G D
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
N.C G D G D
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika.
Verse 1:
G D G D
Pesa zasumbua roho yangu,
G D G G7
pesa zasumbua roho yangu.
C Am D
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
N.C. G D G D
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
N.C. G D G D
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
Verse 2:
G D G D
Kidege, hukuwaza kidege,
G D G G7
Kidege, hukuwaza kidege,
C Am D
Nami nifanyeje, kijana mwenzio,
N.C. G D G D
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
N.C. G D G D
nashindwa na mali sina, we, ningekuoa Malaika, Last updated:
Please rate for accuracy!
